Mark 6:3-4

3 aHuyu si yule seremala, mwana wa Maria? Na ndugu zake si Yakobo, Yose,
Yosefu kwa Kiyunani ni Joses.
Yuda na Simoni? Dada zake wote si tuko nao hapa kwetu?” Nao wakachukizwa sana kwa ajili yake, wakakataa kumwamini.

4 cYesu akawaambia, “Nabii hakosi heshima isipokuwa katika mji wake mwenyewe, na miongoni mwa jamaa na ndugu zake, na nyumbani kwake.”
Copyright information for SwhNEN